Pages

Friday, July 25, 2014

Ndugu zangu wenye ndugu zao wenye ufaulu wa kuanzia D tatu form four na principle mbili kwa A level bado mnakaribishwa kwa kozi za uhasibu' manunuzi; masoko ; rasilimali watu na usimamizi wa biashara katika chuo chetu cha Tanzania Institute of Accountancy tembelea www.tia.ac.tz kwa maelezo zaidi

No comments: