Pages

Sunday, May 2, 2010

wakati mwingi nimepata kuulizwa na watu umesoma mambo ya maendeleo lakini unafundisha chuo cha uhasibu. hii inakuwaje au unawadanganya wadogo zetu.? au unakuwa kama yule mwaalimu wa square roots???? jibu ni kwamba ninafundisha development studies na management. kwa hapa tunaita supporting subjects. nafikiri wengi mna jibu sasa.

No comments: