Pages

Sunday, April 11, 2010

EAC

Wakati tunaendelea kujadiliana na kujipanga kufaidika na jumuia ya Afrika mashariki watani wetu wa jadi kenya wameenda mbali zaidi na kuweka mpango wa kujenga Airport huko Taveta km 8 tu kutoka mpaka wa Holili na km 80 kutoka KIA. Ujenzi huo utagharimu tsh. 170 billioni (10 Bilioni kshs.
pata habari kamili kupitia http://www.arushatimes.co.tz

No comments: